PART 1: SHARIFU ALIYEFUNGISHA NDOA YA JINI NA BINADAMU / ATOA SIRI MAISHA YA MAJINI NA MASHARTI YAO
HTML-код
- Опубликовано: 11 апр 2025
- PART 1: SHARIFU ALIYEFUNGISHA NDOA YA JINI NA BINADAMU / ATOA SIRI MAISHA YA MAJINI NA MASHARTI YAO
#manaratv #diamondplatnumz #wasafitv #wasafifm
Namba Ya Sheikh Sharifu 0788989035
Shekhe huenda nimechelewa kuona post Yako ila Mimi Nina PITIA mengi ntakutafuta mwalimi
Wanafiki wezi
Story isio sawa haolewi jini na binadamu warongo wasio thamini Quraan wala sunnah kaa kando na majahili matepeli hawahawajasoma wala hawatumiki dini beCAREFULL
Naomba ,,umwambie sharifu,atumie WhatsApp ,,nipo Kenya,tafadhali ,,Nina shida kubwa sana
Alhamdulillah sheikh sharifu umeelzea vitu kwa ufasaha kiasi chakwamba mtu unatamani uendelee kusikiliza elimu hiyo maana wengi ni wababaishaji Tena sana
Mashallah Allah akuzidishie elimu
Nasubiri party two uyu sheikh ana vitu adim sana. Shukuran sana
MashaAlla Allah akuzindishie elimu
ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU SHEIKH SHARIFU SULTAN MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA. I LOVE UR STORY ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 UK WS. EID MUBARAK TO U AND EVERYONE ISLAM ☪️ AROUND THEY WORLD AMEEN SUMA AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Assam alyeikum samahani sheikh mimi niliwahi kusikia binadamu hawahusiani na binadamu pia hawaruhuaiwi kuowana imekuaje ukafungisha ndoa na majini 😢😮
INNAA LILLAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN.
WEWE MTOTO MCHE MOLA WAKO ACHA KUDANGANYA WATU
Ukiona unadanganywa hainaulazima uangalie mada zake
😂😂😂😂😂😂😂 huyu jamaa ana hadithi alfu lela u lela 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimetoka tiktok nimeifata huku hii story
Tukowote
@@MaryMlelwa-k1smimi pia
Wa kwanza nipewe likes jamani😢😢😢
Jee ilo unalofanya la kuozesha jini inafaa kisheria ya kislam na jee ktk dini na sayasi inaweza kutungisha mimba ya jin
Sikia funga ndoa na shetani utakiona moto unakusubiri jini yeyote ni shetani na anaiba nyotA za watu ujinga wakusema jini mzuri SIKIA usiejua kipofu hakuna jini mcha mungu Mimi nasema mungu ambae anaheshimiwA na majini huyo mungu ni mpumbavu Mimi nimesema kamwambie
Mashallah Mashallah
Mimi nashangaa sana mtu akiongea watu hoo muongo...mkweli nani..shekhe huyu kijana anaelezea mambo anayoyajua tunasema ni uongo..jamani dunia hii inamambo mengi..ila Jina la Yesu Kristo linaweza kufurusha awe jini kweli mwenye uwezo wote,au pepo lolote,mizimu ya aina yoyote, uchawi wa aina yoyote...Marehemu shekhe Yahaya Hussen aliwahi kusema Yesu Kristo pekee ndiye mwenye uwezo wa kuondoa jini likaondoka lisirudi tena....Unajua waongo pia wapo,kuwapo kwa waongo na matapeli si kwamba wakweli hawapo..Watumishi wa Mungu wakweli wapo nikimaanisha Wachungaji..wanakemea kwa jina la Yesu jini wa aina yoyote awe wa kutembea kama binadamu,kutambaa kama nyoka,kuruka au kupaa kama ndege..vyovyote itakavyokuwa.."Ninakuhamuru kwa jina la Yesu toka..lazima atoke tu...Yesu anasema " LUAKA 10:19 Tazama nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge,na nguvu zote za yule adui,wala hakuna kitu kitakachowadhuru"...kukanyaga hapa aimaanishi kumkanyaga huyu nyoka kiumbe hapa bali ni nguvu zote za giza kuzifurumisha...hakuna jini mzuri ndiyo maana hata huyu shekhe kijana anasema jini yoyote kwa umbo lake halisi anatisha...Mungu alipomtupa malaika mwasi toka mbinguni alisema atakuwa kitu cha kutisha!! so jini wa aina yoyote si mzuri...Mungu kisha wahukumu wote kwa aina zake,ni muda tu unasubiliwa nao ni mwisho wa dunia...kweli imani ni ya kuiangalia sana kuwa na ushirikiano na jini daa!! halafu unadhani unamfanyia Mungu wa kweli ibada WAKORINTHO 10:20-21 Hamwezi kushirikiana na mashetani...kunywea kikombe cha Mungu na mashetani...Ni dhambi mbaya sana..katika Biblia hakuna sehemu shetani na malaika zake kama majini pepo nk wameitwa wazuri....ndugu soma hakuna wote Yesu aliwatimua..tuwe makini tunadhani tunampendeza Mungu kumbe tunamchukiza..ibada ya mwanadamu na jini mbele ya Mungu wapi na wapi??!! Mungu ni mtakatifu mno jamani...nampenda sana Mungu anapoeleza ubaya wa shetani na kulaaniwa kwake katika hukumu ya milele...Biblia yote hakuna shetani au jini au pepo mzuri. Kijana shekhe mdogo Yesu anakupenda utubu..muda bado upo...Mungu ashirikishwi na vitu hivyo..umewahi kukaa makazi ya majini..Mimi ninaamini ulimwengu wa majini na Mimi take hupo...kijana toka huko utapotea milele.Yeu anakutaka YOHANA 14:6.
Hassadi nyingi maana mada zake sijawahi kusikia kwa sheikh yoyote yule kiasi nimpe mauwa yake❤❤❤❤❤
YESU ANAWAPENDA SANA NJOENI KWAKE BADO AMJACHELEWA😊
@achymedia Yesu mwenyewe Jini 😅😅
Namungu Naeeee
hizi ndio story napenda 😊 sijui na mie jiniii😂😂
Ata mm.😂😂😂😂
Ila nikiangalia usik naogopa 😂😂
😂😂😂😂
Sio jini bali unayo mwilini mwako hyo majini
😂😂😂
Anapatikana wapi?
Na ww manara unajifanya umesoma dini ndio upuuzi gani huu unatupostia!? uislam hauruhusu ndoa na majini wala kushirikiana nao.
❤
*kwajina la Yesu kristo* huwaga majini yanakimbia tofauti na hapo pepo(jini) halitoi jini mwenzake otherwise ufalme wa shetani utakuwa umefitinika
Yanakimbia wapi wakati kila siku makanisani kwenu munakemea toka mapepo toka pepo na majumbani kwenu toka pepo mpaka Mkristo anaingia kaburini pepo wachafu hawajamtoka na Yesu huyo huyo alichezewa na Jini kiranja wa majini wote ambaye ni Ibrisi,Soma MATHAYO-4-11SOMA ILI UJINGA UKUTOKE NA UTOKE KATIKA IMANI HIYO SIO KUWA SAHIHI.
@@ramadhanwilbard8196 shauri yako ndugu we ni muislamu wa darasa la kwanza hujui kitu kuhusu uislamu ,mashekhe wenye usomi wa phd za kiislamu wanaokoka sikuhzi ,waislamu kweli kweli wanaokoka sembuse wewe !Okoka njoo nikuonyeshe sehemu sahihi utakayompata Yesu halisi uone kama kuna pepo litakaa
@@Tutindaga Na Mimi ni Mchungaji niliye ongoka nakuingia kwenye Uislamu,Uislamu sio chama cha kisiasa kwamba unamtegemea Sheikh ndiyo uendelee kwahiyo Sheikh anaweza kuicha dini kwa sababu ya njaa za pesa na taa zake lakini husidhani sisi tunaobaki tunaweza kumfuata heti kisa katoka, Yeye ataondoka na sisi tutabaki Sisi sio kama nyie kila siku Papa wenu anawaambia mukaingiliane wanaume kwa wanaume wake kwa wake;hayo ndiyo mafundisho ya Yesu hee?Yesu dini yake ilikuwa ni Uislamu hayo mengine ni maneno yenu ya muliyojitungia,Soma MATHAYO26:39 NJOO UNIELEZE KAMA KUNA MKRISTO ANASWALI KWA KUDONDOSHA USO WAKE ARDHINI!YESU WA BIBILIA ALICHEZEWA NA MKUU WA MAPEPO AMBAYE NI IBRISI :SOMA-MATHAYO4:1-11 SASA KAMA ALISHINDWA UJANJA NA PEPO IBRISI WEWE UNANIAMBIA NINI?NDIYO MAANA MIMI NILISILIMU KUPITIA MAANDIKO HAYA HAYA.
@@Tutindaga Uislamu sio kama vyama vya kisiasa ambavyo huwa vinaendeshwa kwa propaganda za maneno ya uhongo;Uislamu sio dini ya mtu binafsi bali ni dini kutoka kwa Mwenyezi Mungu na hapa duniani hakuna mtu yeyote anayeweza kuwa na elimu kuliko Mwenyezi Mungu na Mtume wake pamoja na Mitume wake wote waliotangulia;sasa hao wasomi wako wanaolitadi wana hoja gani za msingi zilizowapelekea mpaka wakauwacha Uislamu?Hawana hoja yoyote sana sana utawasikia wakitoa maneno ya kashifa yasiokuwa na mashiko na kwa taarifa yako hizi dini zote nje ya Uislamu watu wake waliuwasi Uislamu kwa sababu dini aliyokuja nayo baba yetu Adam ulikuwa ni Uislamu na hapakuwepo na dini tofauti na hii baadae Wazungu wenu wazee wa suti wakaa wakaamua kuwahundia dini maduka kiboko ya wachawi kuwaona unatakiwa uende na laki tano,milioni na kadhalika sasa utatueleza nini sisi kwa sababu huna hoja yoyote ya msingi sana sana utakuwa na hoja hoo Uislamu kaleta Mohammed, sio kweli Mtume alipewa Quran dini kaikuta ipo karne nyingi ila kwa ujinga wenu munalishwa maneno na viongozi wenu bila nyie wenyewe kufanya tafiti na hata Yesu Mwenye alikuwa Muislamu ndiyo maana hakuna andiko hata moja katika Bibilia lisemalo kwamba Yesu aliingia kanisani hakuna andiko hilo,Kwahiyo dini yetu ya Uislamu haimtegemei mtu yeyote ila sisi Waislamu ndiyo tunamtegemea Mungu kupitia dini ya Uislamu hata yeyote akitoka dini inaendelea mbele!
inatosha ukiwa wewe mkristo usitake kujifanya wewe mbatizaji kaa na msaraba wako
Mbona ktk uislam tunafuzwa ya kwamba Jin hawezi kukaa ktk umbile la bina dam zaid ya saa1 lazima atapata matatizo hii inakuwaje kisha olewe na binadam?
Mwenyezimungu kasema akuna urafiki wa binaadam na jini
ayah ipi hiyo? Maan Kumsingizia Uongo Mungu ndo mbaya zaidi
Weeee bro muongo sababu ulimwengu wa majini tofauti na sisi na ni viumbe kama sisi wanatuona hatuwaoni sisi acha uongo wapi unauwezo wa kuoa jini kwa mujibu wa dini na mafunzo ya mwalimu wa umma huu acheni ushirikina na muogopeni Allah subhannahu wa taala awaongoze sana
Nakubali shee wangu❤❤
Muongo uyu jamaa dhuuu namfatilia lakini bado soja mwelewa😂😂😂
Assalaam alaikum warahmatullah wabarakatu shekhe nimezunguka sana kusomewa dua lakin anatoka tena anarud naomba nisaidie ananipa usizingi hadi kwenye swala ananitesa sana naomba nisaidie
Machallah
😮😂masha Allah
Kweli kuna watu wanna majininna wapo wengi saana sasa sijui hukmu Yake IPO vipi
mtangazji unaharaka ya kuliza maswali .tulia bas tupewe somo
Proud to be christian jina ni moja tu yesu kristo
Wewe umechanganikiwa nini?Viumbe majini ni kazi ya Mwenyezi Mungu na Viumbe wanadam nayo ni kazi ya Mwenyezi Mungu pia,kwahiyo jinsi unavyowaona wanadamu tunazo dini mbalimbali na majini hivyo hivyo wapo wa makanisani,wapo makafir,wapo wa kila aina ;Sasa Wewe unajitia ujuaji wa kijinga hoo Yesu, hoo nini kwani Yesu hakuwa kiumbe wa Mwenyezi Mungu?Na Majini sio viumbe wa Mwenyezi Mungu?Na ukijua kuwa majini ni hatari na Yesu aliwahi kuchezewa na jini Mkuu tena Ibrisi husingelikuwa unaandika ujinga hapa!Soma MATHAYO4-11 KISHA NJOO HAPA UPIGE KELELE ZA UJINGA TENA.
Namukishindwa katika majambo yenu mwatufata Sisi kutoomba Masada wacha ujinga wewe
@@Kilembaa254 msaada gan unawez kunisaidia zaidi ya mungu wangu
@@ramadhanwilbard8196Hivi nyie waislamu majini wamewapa Nini mbona mnawatetea Sana hamshutuki angalia Kila anaeyeongelea majini picha wanayoweka kwenye clip ni viumbe vinavyotisha huoni hayo ni mashetani sijawai kuona mashekh wakiongelia majini wanaweka picha nzuri
@@ramadhanwilbard8196wewe Yesu ni kiboko ya majini jini Gani WA kumchezea Yesu alipokuwa yakimuina alipiga kelele na kuyafukuza huyo Allah ni kiongozi wao majini na mtume wenu na usiludie Yesu kumuita kiumbe hakuna Yesu kiumbe biblia nzima
Jamani hapo kwa kujoa sehemu yeyote eeanfanyaje na hapa kwa choo ni imefugwa ama fipi tupe elimu
Hello,hii somo ni kubwa hawa viumbe naomba niulize,jini mchawi ni hawa binadamu wachawi (2)utajua aje jini na utfanyaje itoke
Hivi likes mnaombaga za nn!!?😢😢😢 M nakwazika anyway🥺
Ukiona majitu ya hivi ujue kichwa kinamajini hicho
@@KhamisMohammed-y9l😂😂😂
😂
Nashangaa
Itakuwa zinawapa Kula
Napenda sana kujua kuhusu majin cjui kwa nn
Labda unae, kuwa makini ujilinde
@@OphraiddHir Majin ni viumbe kama sisi wapo wabaya wapo wazur kama wazur nikiwa nao karibu hamna shida kwangu
@saidkambi6792 wazuri inamaanisha waislamu sio, kama ndivyo, hao hawawezi kumtumikia mwanadamu, watajishughulisha na mambo yao na ibada, ila wabaya walio aswi, ndio hujichanganya kutumiana na wanadamu, haswa kwa kumpa mwanadamu faida ndogo sana, na yeye kufurahi akimdhalilisha na kumpoteza huyo mwanadamu, na mwisho wake humuelekeza motoni tu. Kwa hivyo kaa laini yako ya kibinadamu uridhike na aliyokujalia mungu, waachie wao walioasi kutafutana na wenye tamaa na kuwapoteza.
Huyu sharifu hana idhini ya kufungisha ndoa ya binadamu na jini, kama ni kweli alifanya hivyo. Anajitia katika hali ambazo ataulizwa siku ya kiama kwa kila alilofanya.
@@OphraiddHir Majibu mazur ni yale yenye ushahid kaka tupe ushahid kama kakosea
From tiktok 16:09
Mh Aya sasa
Mmmmmh sauti chafu kaka Kuna AI za kisafisha sauti now kibaaaao mna niangusha😢😢
Waislam someni dini yetu msiingie katika fitna ya sasa wadanganyifu ni wengi
Huyo Jamaa sa hiv maisha yake Yapoje.??
Daaah watu waongo tena wamebobea kabisaaa
Nikweli kabisa shehe
🙏
Eti waliii??
Nataka unipe namba ya Sharif ya WhatsApp
Majini nasikia hawana miili ni kweli
Tena jini hana msaada wowote kwa mwanadamu acha uongo msaada ni kwa Allah pekee yake acheni kuchafua dini
Naweza kupata namba zako shekhe tafadhari
Kumbe qaboos mtoto wa jini duh ulimwengu una mambo huu
Nakufatlia sana
tunaweza kukufulikia kwa njia gan xhehee,au tunakupataje wap unapatkana??namba yako au maali unapopatkana.
Huyu sheikh anaongea kwa kujiamini sana kama anafahamu anacho ongea anakijua kweli kweliiiiii.... kama akifahamu basi anakipaji kikubwa sana cha udanganyi
Mh! Hakuna ndoa kati ya jini na binaadam kwasababu wao wana ulimwengu wao nasi tuna ulimwengu wetu na ndio maana tumewekewa kizuizi kuwaona
Jicho la tatu lipo. Kuna jicho la tatu la Kimungu na jicho la tatu la Kishetani.
@@samjosh12unalipataje Jicho la 3
Unacheseam nikweli una elimi nacho apo ndo shida
Mtangazaji muhuni et nakawa uwe zuchu kamtamani zuchu😂😂😂
Je shesharifu kumuona jini Ina swihi
Acha ujinga we unajiita sharifu na ujahili wako uwo unajuwa nin maana ya usharifi
Usintukane UNAPATA DHAMBI
Wacha upuzi Kitu huna Elimu nacho waachie wenye Elimu wafanya wanacho kujuwa
Sasa we unataka Sharifu awe nani., Au aweje,
Namtaka huyu shekh🥹
Wewe shekh ni mganga au
Allah anasema kwenye ومن اياته ان خلق لكم من انفسكم ازواجا لتسكنوا اليها وجعل بينكم مودة ورحمة ان في ذلك لايات لقوم يتفكرون manake ndoa kati ya jinn na bin adam ni haram kabisa
Tushaanzza kutishana au sio
Uwongo mtupu!
Shehe naomba nioe jini
MAPEPO NAO NI AKINA NANI
Ndio hao Majini, Waislm wanaitwa Majini Wakristo mapepo😂
Kabla ya hapo aliwahi kumzagamua au huyo jini alikataa mpaka aolewe nae
Alikuwa Jin mzinifu
Kivipi ufungishe ndoa ya jini na binaadam? kwani wanawake wa kibinaadam wamekwisha nyie mbona mnatuchafulia dini yetu pendwa? Huyu mwanaume atazaa nae huyo jini? Na je hao watoto watakuwaje? Mbona hatuwaoni watoto shombeshombe wa jini na binaadam ? Sheikh umekosea ndoa hiyo ni batwil
Nakwambia Dunia imeisha hiii
Elimu yako ndogo kijana
Wacha upuzi Kitu huna Elimu nacho waachie wenye Elimu wafanya wanacho kujiwa alokwambia usisome Nani ama wewe wajua Elimu ya chuo na madhrasa coz mybe ata uliacha Rwaudhwa ba
Hakuna uhalali wa ndoa wa watu na majini, mm niko na uhakika na hiyo huyu anawapoteza bure anyway tutaona mbele ya Mungu kesho kiama juu watu hamwezi soma